×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Maafisa 28 kuondoka katika nyumba zinazomilikiwa na bandari ya Mombasa

5th July, 2015

Usimamizi wa bandari ya Mombasa sasa umewataka maafisa 28 walioachishwa kazi kwa kushiriki mgomo kuondoka mara moja katika nyumba zinazomilikiwa na bandari. Hatua ambayo imeshutumiwa vikali na chama cha wafanyakazi bandarini. Lakini jinsi mwanahabari wetu John Juma anavyoripoti kumeibuka mgawanyiko miongoni mwa wafanyakazi, wengine wakitaka chama chao kivunjiliwe mbali kwa kuongoza mgomo haramu.
.
RELATED VIDEOS