×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Hospitali ya Kapenguria inapokea watoto zaidi ya sabini walioathirika na utapia mlo

2nd July, 2015

Hospitali ya wilaya ya Kapenguria kaunti ya pokot magharibi inapokea watoto zaidi ya sabini walioathirika na utapia mlo kila mwezi. Ikiwa ndio kaunti inayoongoza humu nchini kwa asili mia 46 ya watu wanaoathirika na kufariki kufwatia athari za utapia mlo. Hata hivyo wanaume wamelaumiwa kwa kupuuza familia zao huku wakitumia wasaa wao kuchunga mifugo yao. Saida swaleh ameandaa makala yatakayoweka bayana changamoto za lishe kutoka kaunti ya pokot magharibi.
.
RELATED VIDEOS