Mwanaume wa Nyeri amkia pombe asubuhi na mapema
2nd July, 2015
Mjini Nyeri adhuhuri ya leo mwanamume mmoja akiwa amelewa chakari amewaarifu wanahabari wetu kwamba chupa ndiyo mwokozi wa maisha yake si siri kuwa kaunti ya nyeri na eneo la kati limeathiriwa sana na unywaji wa pombe. Thibitisho ni kupitia visa vingi vinavyogonga vichwa vya habari vya wanaume kunyofolewa au kucharazwa na wake zao. na ndio maana leo kufuatia agizo la rais umeandaliwa mkutano wa dharura kujumuisha wahusika wote wa idara za usalama ili kusaka mbinu na mikakati ya kutekeleza agizo hilo.