×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Idara husika za serikali zimetangaza kuwapokonya leseni kampuni za vileo

2nd July, 2015

Kufuatia agizo la jana la rais, idara husika za serikali zimetangaza kuwapokonya leseni wenye kampuni zote zinazotengeneza vileo ambavyo havitengenezwi katika viwanda maalumu hadi pale shirika la kuratibu ubora wa bidhaa nchini litakapo kakugua vileo hivyo na kuviidhinisha. Waziri wa usalama wa taifa joseph nkaiserry ametoa onyo kwa maafisa watakaoshindwa kudhibiti pombge haramu katika maeneo yao kwamba watafutwa kazi. Na kama anavyoarifu lofty matambo katika eneo la kati la nchi ulevi miongoni mwa wanaume unatishia kufelisha jamii.
.
RELATED VIDEOS