×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwana Muziki Charles Jaguar atishia kujiuzulu kutoka NACADA

29th June, 2015

Mwanamuziki charles njagua kanyi ambaye anafahamika kama jaguar ametishia kujiuzulu kama mwanachama wa bodi ya NACADA, mwanamuziki huyo aliyechaguliwa kama mwanachama katika bodi hiyo na rais uhuru kenyatta miezi miwli iliyopita amedokeza kuwa ufisadi umekithiri katika bodi hiyo. Shirika hilo limehusika katika mivutano kumhusu mwenyekiti john mututho na kundi la wanachama wa bodi. Sasa jaguar anataka uchunguzi kufanywa kwa wiki mbili au ajiuzulu.
.
RELATED VIDEOS