Jamii ya Isinya wahamasishwa kuhusu vyakula muhimu kwa afya ya watoto
27th June, 2015
Mji wa Isinya katika kaunti ya Kajiado umerekodi visa vingi vya watoto walio na tatizo la utapia mlo. Kulingana na takwimu kutoka hospitali za eneo hilo jumla ya watoto mia tano wamethibitishwa kuwa na maradhi yanayosababishwa na ukosefu wa lishe bora kila mara mmoja kati ya watatu kufariki .