Mtu mmoja aua mfanyakazi wa shamba la mamake Nyeri
25th June, 2015
Mtu mmoja katika kaunti ya Nyeri amemuua mfanyakazi wa shamba la mamaye huku akimjeruhiwa vibaya mfanyakazi mwengine baada ya ugomvi kuhusu nyasi za kulisha mifugo kwenye shamba hilo.