Viongozi wa siasa wamsuta mwenyekiti wa tume ya utekelezaji wa katiba CIC Charles Nyachae
13th June, 2015
Viongozi wa siasa wamemsuta mwenyekiti wa tume ya utekelezaji wa katiba CIC Charles Nyachae na kumwambia akome kuingilia kazi yao.wameyasema haya siku moja baada ya Nyachae kutishia kwenda mahakamani kushtaki bunge kuhusiana na uteuzi wa Monica Juma kuwa katibu wa baraza la mawaziri. Nyachae amedai kuwa wabunge walitumia sababu za kibinafsi kumfungia nje Juma, hatua ambayo inakiuka katiba.Wabunge wamejitenga na madai hayo.