Jamaa auwaawa kwa kushindwa kulipia Mutura wa thamani ya shilingi tano
12th June, 2015
Wakaazi wa eneo moja la kaunti ya Nyandarua wanaomboleza kifo cha mmoja wao anayedaiwa kuuawa na wauza Mutura kwa kushindwa kuulipia Mutura wa thamani ya shilingi tano aliokula. Wauza mutura walimvamia huku wakimdai shilingi tano kwa kipande kidogo cha mutura.