Shirika la Standard Group laahidi kufanya kazi na serikali za kaunti ili kuimarisha ugatuzi nchini
10th June, 2015
Afisa mkuu mtendaji wa shirika la Standard Group Sam Shollei alizuru kaunti za magharibi mwa Kenya huku suala la afya likitawala katika kaunti ya Vihiga na Busia wakati wa ziara hiyo. Shollei aliahidi kufanya kazi na serikali za kaunti kwa ujumla ili kulisukuma gurudumu la ugatuzi nchini.