×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Shirika la Standard Group laahidi kufanya kazi na serikali za kaunti ili kuimarisha ugatuzi nchini

10th June, 2015

Afisa mkuu mtendaji wa shirika la Standard Group Sam Shollei alizuru kaunti za magharibi mwa Kenya huku suala la afya likitawala katika kaunti ya Vihiga na Busia wakati wa ziara hiyo. Shollei aliahidi kufanya kazi na serikali za kaunti kwa ujumla ili kulisukuma gurudumu la ugatuzi nchini.
.
RELATED VIDEOS