Gavana wa Makueni Kivutha Kibwana akiri kuwa utepetevu ufujaji wa pesa katika serikali hiyo
9th June, 2015
Gavana wa Makueni Profesa Kivutha Kibwana amekiri kuwa kulikuwa na utepetevu katika serikali ya kaunti ya Makueni ambayo ilisababisha ufujaji wa milioni 23. Pesa ambazo matumizi na makadirio yake ni ya kutiliwa shaka.