Wasichana wawili waliokolewa kutokana na ndoa za mapema sinonkai kaunti ya Kajiado
6th June, 2015
Wasichana wawili waliokolewa kutokana na ndoa za mapema huko sinonkai kaunti ya Kajiado. Hii ni baada ya naibu wa chifu kutibua njama hiyo lakini cha kustajabisha alipata wakati mgumu kuwaokoa watoto hao kwa sababu ya mila na tamaduni ambayo jamii ya wamasai kutoka kaunti hiyo wameendelea kuishikilia. Francis mtalaki na maelezo kamili.