Watu watano wapoteza maisha kwenye ajali katika barabara ya Kajiado-Namanga
5th June, 2015
Watu watano wamepoteza maisha kwenye ajali iliyotokea usiku wa kuamkia leo katika eneo la Isinya kwenye barabara ya Kajiado-Namanga. Kulingana na polisi,watu hao waliokuwa wakielekea nyumbani kutoka maeneo ya burudani, walikuwa wakiendesha gari hilo kwa mwendo wa kasi kupita kiasi.