×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mbunge wa Kiharu Irungu Kang’ata adai kuwa makundi ya mashoga na wasagaji yanaifadhili mahakama

4th June, 2015

Mbunge wa Kiharu Irungu Kang’ata mapema leo ameitaka mahakama kuu kutoa kauli zake kuhusu habari kwamba makundi ya mashoga na wasagaji yamekuwa yakiifadhili mahakama. Kangata anadai kwamba huenda ufadhili huo ndio uliifanya mahakama kutoa uamuzi wa kuidhinisha makundi hayo kunzisha vyama vyao.
.
RELATED VIDEOS