Unapojifungua mtoto nje ya ndoa ni lazima upate ushauri wa baba mzazi kujumuisha jina lake kwa mwana
31st May, 2015
Je unafahamu kuwa unapojifungua mtoto nje ya ndoa ni lazima kama mama mzazi upate ushauri kutoka kwa baba mzazi iwapo ungepenga kujumuisha jina la baba kwa mwanayo? Ndio mjadala ambao sasa unatokota mahakamani kuhusiana na iwapo ni sawa kwa wanaume waliohusika katika kutunga mimba wanafaa kushauriwa kabla ya majina yao kutumika aua la ?