Wanasiasa wa CORD na Jubilee wakutana katika mazishi ya mwendazake Daktari Benjamin Kipkorir
31st May, 2015
Jamaa na marafiki pamoja na viongozi wa kisiasa kutoka maeneo tofauti humu nchini walikusanyika huko Kapcheling kaunti Elgeyo Marakwet wakati wa mazishi ya mwendazake Daktari Benjamin Kipkorir.