Waitiki ajitenga na tuhuma za kushirikiana na waziri Ngilu katika jaribio la kuilaghai serikali
27th May, 2015
Evanson Kamau Waitiki amejitenga na tuhuma za kushirikiana na waziri Charity Ngilu katika jaribio la kuilaghai serikali.kwenye ripoti ya tume ya ufisadi na maadili Ngilu alidaiwa kushirikiana na Waitiki katika kuongeza bei ya shamba la Waitiki lililoko Likoni kwa shilingi milioni mia moja na kumi.