Mercy Cherono aandikisha ushindi katika msururu wa riadha mjini Eldoret
23rd May, 2015
Bingwa wa jumuiya ya madola Mercy Cherono ni miongoni kwa wanariadha ambao waliandikisha ushindi katika siku ya mwisho ya mkondo wa tano ya msururu wa riadha mjini Eldoret. Asbel Kiprop ambaye aliandikisha rekodi mpya ya uwanja wa Kipchoge hakushiriki mashindano ya fainali kwa sababu ya safari ya kuelekea Marekani kwamashindano. Lynne Wachira ana taarifa zaidi.