Watu 9 wafariki Mukuru Fuata Nyayo baada ya ukuta kuwaangukia kutokana na mvua kubwa
12th May, 2015
Watu 9 wameripotiwa kufariki katika mtaa wa mabanda wa Mukuru Fuata Nyayo hapa Nairobi baada ya ukuta kuwaangukia kutokana na mvua kubwa iliyonyesha jana usiku hapa Nairobi. Watu wengine 4 wamelazwa hosptilani na wanaendelea kupokea matibabu zaidi.