Baraza la Kitaifa la Makanisa NCCK liandaa maombi maalum kwa waliokufa katika Chuo Kikuu cha Gari
11th May, 2015
Baraza la Kitaifa la Makanisa Humu Nchini limeandaa maombi maalum kwa watu wote waliouawa kwenye mkasa wa kuvamiwa chuo kikuu cha garissa mwezi jana. Viongozi wa makanisa yote wamezungumzia umuhimu wa wakenya kutopisha njama za magaidi za kutaka kuwatenganisha kwa misingi ya dini. Saida swaleh na taarifa hiyo.