Zaidi ya familia 1000 zafurushwa na nyumba zao kuteketezwa Mau
28th April, 2015
Zaidi ya familia 1000 zilizokuwa zikiishi kwenye msitu wa mau, sehemu ya Maasai mau, zimefurushwa na nyumba zao kuteketezwa. Maskwota hao sasa wamepiga kambi katika eneo la Kipchoge wakisubiri serikali kuwapa makao mbadala.