Seneta Mike Sonko na katibu Mutea Iringo wafika mbele ya tume ya EACC na kujitetea
24th April, 2015
Afisa mkuu mtendaji wa tume ya maadili na kupambana ufisadi eacc khalake waqo amesema kwamba kusimamishwa kazi kwa mwenyekiti wake mumo matemu pamoja na naibu wake irene keino hakutositisha kamwe shughuli za tume hiyo . Wakati huo huo seneta wa nairobi mike sonko na katibu mutea iringo walifika mbele ya tume ya eacc na kuandikisha taarifa kuhusiana na madai ya ufisadi.