Mwanamke Ngangari: Naomi Chemtai Muasisi wa kampeni dhidi ya kifafa
19th April, 2015
Kwenye makala ya Mwanamke Ngangari patana naye Naomi Chemtai msichana ambaye alitengwa na familia yake pamoja na marafiki kwa sababu ya ugonjwa uliomfanya kudhaniwa vibaya. Licha ya hayo alitia jitihada ya kutafuta matibabu hadi leo ni muasisi wa kampeni dhidi ya kifafa. Elvis Kosgei anamuangazia mwanamke huyu ambaye yupo katika kaunti ya Nandi.