Wabunge waliokuwa wanachama wa PAC wahojiwa na EACC kwa madai ya kupokea hongo
17th April, 2015
Tume ya kukabili ufisadi EACC mapema leo imewahoji baadhi ya wabunge waliokuwa wanachama wa kamati ya bunge kuhusu uhasibu PAC kwa madai ya kupokea hongo kutoka kwa aliyekuwa katibu katika wizara ya usalama wa taifa Mutea Iringo.