Wafanyibiashara wa mashirika yanayodaiwa kufadhili Alshabab watoa habari kwa upelelezi
13th April, 2015
Kufuatia kufungwa kwa mashirika ya kibiashara na yasiyo ya kiserikali yanayodaiwa kufadhili kundi haramu la Alshabab, leo baadhi ya wafanyibiashara na wasimamizi wa mashirika hayo walifika katika kituo cha maafisa wa upelelezi eneo la South C ili kutoa habari na stakabadhi muhimu zilizohitajika. Elvis Kosgei na taarifa hiyo.