Madereva wa magari ya masafa marefu walalamikia magari binafsi kubeba abiria
11th April, 2015
Magari yaliyo na uzito wa zaidi ya tani nane yatalizimishwa kutoka jijini na kutumia barabara ya southern by-pass. Hii ni hatua ya kupunguza msongamano wa magari katika barabara ya mombasa na ile ya uhuru highway. Na kama anavyotuarifu nicholas wambua, barabara hiyo itafungwa wiki ijayo kurahisisha ujenzi utakaochukua muda wa wiki moja kabla ya kufunguliwa kwake ijumaa ijayo.