Wazee wa Kaya waitaka serikali kuwapa hati miliki za Kaya wanazozitumia kama sehemu za ibada
9th April, 2015
Wazee wa Kaya huko Pwani ya Kenya sasa wameitaka serikali kuwapa hati miliki za Kaya tofauti wanazozitumia kama sehemu za ibada kwa jamii ya Wamijikenda . Wakizungumza na waandishi wa habari mjini Mombasa,naibu mwenyekiti wa wazee hao,Shaaban Ndegwa alisema kwamba kuna hofu ya kuangamia kwa kaya hizo kupitia unyakuzi wa ardhi