Wazazi wa mshukiwa mmoja wa ugaidi anayetafutwa na serikali wajisalimisha mjini Mombasa
7th April, 2015
Hatimaye wazazi wa mshukiwa mmoja wa ugaidi anayetafutwa na serikali wamejisalimisha mjini Mombasa wakisema hawajaonana wala kumsikia mwana wao kwa muda wa zaidi ya miezi tisa. Wazazi hao wamedai kushtushwa mno walipoona picha ya mtoto wao imechapishwa miongoni mwa magaidi sugu wanaotafutwa. Hayo yanajiri wakati washukiwa 6 wa shambulizi la Alshabaab wakifikishwa mahakamani. John Juma na taarifa Zaidi