Watu wasita wafariki katika jumba lililoporomoka Roysambu
6th April, 2015
Shughuli ya kufukua vifusi vya jumba moja lililoporomoka mtaani roysambu imekamilika hii leo. Akitoa ripoti ya operesheni hiyo , afisa aliyesimamia shughuli hiyo alisema kuwa jumla ya watu 7 walipoteza maisha yao na wengine tisa kupata majeraha hata hivyo mbunge wa eneo la Roysambu waihenya ndirangu alesema atawapeleka mahakamani idara inayo simamia ujenzi na serikali ya kaunti kwa kutowajibika pamoja na kutoa leseni za ujenzi kiholela .