×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wanakijiji wa Butere waomboleza kifo cha afisa wa polisi aliyeuawa katika shambulizi la Garissa

4th April, 2015

Huku familia zikiendelea kuomboleza vifo vya wanafunzi waliofariki huko Garissa, familia moja kutoka mjini Butere pia imepatwa na msiba baada ya kijana wao Peter Masinde ambaye ni afisa wa polisi wa Utawala aliyefika katika chuo cha Garissa kuwanusuru wanafunzi hao pia kuuawa katika shambulizi hilo.
.
RELATED VIDEOS