Mvutano kati ya Kenya na Tanzania yaleta shida katika sekta ya utali
29th March, 2015
Jumuiya ya muungano ya Tanzania pamoja na serikali ya taifa la kenya imekuwa na mvutano kwa muda kuhusu maswala ya utalii pamoja na yale ya mipakani ,ni maswala ambayo baadhi ya wahudumu wanakiri bado mwafaka hujapatikana licha ya makubaliano na marais wawili.