×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Zaidi ya vijana 100 wavamia mkahawa wa kichina unaozingirwa na madai ya ubaguzi wa rangi

27th March, 2015

Zaidi ya vijana 100 wamevamia mkahawa wa Kichina unaozingirwa na madai ya ubaguzi wa rangi wakaupora na kubeba vifaa vyake huku wakitoa matamshi makali dhidi ya wamiliki .Vijana hao wanadai wamefanya hivyo kama njia ya kupinga sera za mkahawa huo zinazowabagua raia asili wa Kenya.
.
RELATED VIDEOS