Zaidi ya vijana 100 wavamia mkahawa wa kichina unaozingirwa na madai ya ubaguzi wa rangi
27th March, 2015
Zaidi ya vijana 100 wamevamia mkahawa wa Kichina unaozingirwa na madai ya ubaguzi wa rangi wakaupora na kubeba vifaa vyake huku wakitoa matamshi makali dhidi ya wamiliki .Vijana hao wanadai wamefanya hivyo kama njia ya kupinga sera za mkahawa huo zinazowabagua raia asili wa Kenya.