MWANAMKE NGANGARI: Bi Rosemary Mathu anayefanya kazi ya kinyozi
15th March, 2015
Hii leo katika makala yetu maalum ya mwanamke ngangari kutana na Bi Rosemary Mathu aliyekutungwa mimba na kisha kutelekezwa na kijana aliyemfanya hivyo. Rosemary alishuhudia halingumu kiasi cha kukataliwa na wazazai wake. Lakini alijizoa zoa na kujifunza kazi ya kinyozi.