×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Tume ya ardhi yarejesha ekari 45 ya ardhi iliyokuwa imenyakuliwa mjini Eldoret

25th February, 2015

Tume ya ardhi imebatilisha stakabadhi ghushi za ardhi na kurejesha ekari 45 ya ardhi iliyokuwa imenyakuliwa mjini Eldoret katika kaunti ya Uasin Gishu. Ardhi hiyo ambayo ilikuwa inazozaniwa baina ya kanisa la katoliki la eldoret na serikali ya kaunti ya uasin gishu imerejeshwa kwa serikali ya kaunti hiyo. Mwenyekiti wa tume ya ardhi nchini Mohammed Swazuri sasa ameikabidhi serikali ya kaunti hiyo stakabadhi za umiliki wa ardhi hiyo. Swazuri ametamaushwa na jinsi makanisa yanavyojihusisha na unyakuzi wa ardhi na kuwataka viongozi wa kanisa kujiepusha na dhana hiyo ya unyakuzi.
.
RELATED VIDEOS