Msichana atarajia kuingia katika Guinness World Book of Records kwa kuwa na kiambatisho kirefu zaidi
22nd February, 2015
Msichana mmoja mwenye umri wa miaka 15 kutoka eneo la Nyahururu sasa anatarajia kuingia katika kitabu cha Guinness World Book of Records kwa kuwa na kiambatisho kirefu zaidi mwilini mwake maarufu kama appendix. Winnie Njeri ni mwanafunzi wa kidato cha pili.