Karo ya wanafunzi wa kutwa ni Kshs 9 374 and 53 000 kwa wa bueni
20th February, 2015
Kufuatia kuundwa na kuwasilishwa kwa ripoti ya dkt. Kilemi mwiria kutatua swala la kuongezeka kwa karo za shule za sekondari, waziri wa elimu jacob kaimenyi hii leo ametangaza karo mpya zinazotofautiana na zile zilizopendekezwa na tume hiyo… karo hizi mpya zikiwa zimezidi kwa asilimia 31 . Aidha kaimenyi amethibithisha kuwa serikali itagharamia malipo kamili ya mtihani wa kitaifa wa kidato cha nne kcse kwa wanafunzi wote katika shule za sekondari za umma.