Kampeni za pesa mashinani zingalipo, asema mwenyekiti wa baraza la magavana Isaac Ruto
12th February, 2015
Siku moja baada ya naiabu rais William Ruto kusikika akisema kwamba mashauri yake na magavana yameafikia suluhu ya kukomesha kampeni za pesa mashinani, mwenyekiti wa baraza la magavana Isaac Ruto amesema harakati hizo zingalipo.