Wagombezi wa Kiti cha Seneti ya Homa Bay wanatarajiwa kuongea juu ya uchaguzi
6th February, 2015
Kampeni za kiti cha useneta katika kaunti ya homabay zimeanza kuingia kwenye mkondo wa lala salama hasa kwa kuwa uchaguzi huo unafanyika baadaye wiki ijayo…. Leo hii wagombezi wanane wa kiti hicho watamenyana kwenye mdahalo wa moja kwa moja wakiwa mjini homabay….. Hafla hiyo itapeperushwa moja kwa moja na runinga ya ktn punde baada ya taarifa hizi. Sasa tunaungana na mwanahabari wetu frank otieno moja kwa moja akiwa Homa Bay.