Wawili wafariki,18 wajeruhiwa Kakamega baada ya msingi dhaifu uliokosa udhabiti kuanguka
4th February, 2015
wawili wamefariki dunia na wengine 18 kunusurika katika eneo la Mlimani kaunti ya Kakamega baada ya msingi dhaifu uliokosa udhabiti kuanguka.Wawili hao waliangukia na mchanga ambao ulitokamana na jengo ambalo lilikuwa halijakamilika.
Mmoja wa wawili wao alifariki papo hapo na mwingine kufa pindi tu alipofikishwa hospitalini.kulingana na Stanley Nderema ambaye ni afisa wa shirika la NEMA kisa hicho kilisababishwa na udhaifu wa msingi huo ulioleta maafa.aidha afisa wa polisi wa eneo ameahidi kuendeleza uchunguzi zaidi.