Mvutano baina ya shule ya Buruburu na Metro Villa kwa madai ya unyakuzi wa ardhi
2nd February, 2015
Kulikuwa na hali ya mshike mshike katika shule ya upili ya wasichana ya Buruburu baada ya madai ya unyakuzi wa kipande cha barabara baina ya shule hiyo na nyumba ya Metro Villa.licha ya agizo la waziri wa ardhi Charity Ngilu ya kulipa shule hiyo agizo la kubomoa lango la nyumba hiyo, jitihada za shule za kutaka kubomoa lango hilo ziligonga mwamba.Elvis Kosgei na taarifa hiyo.