Mjadala waibuka kaunti ya Mombasa kuhusu vazi la buibui
31st January, 2015
Tangu jadi hadi wa leo vazi la buibui limekuwa maarufu sana miongoni mwa akina dada katika eneo la pwani - mbali na kumpa heshima mwanamke, vazi hili limekuwa kitambulisho mahsusi katika himaya za kidini…..hata hivyo kizazi baada ya kingine vazi hili limebadilika sura na hata baadhi ya matumizi yake sasa yanaanza kutiliwa shaka.