×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mjadala waibuka kaunti ya Mombasa kuhusu vazi la buibui

31st January, 2015

Tangu jadi hadi wa leo vazi la buibui limekuwa maarufu sana miongoni mwa akina dada katika eneo la pwani - mbali na kumpa heshima mwanamke, vazi hili limekuwa kitambulisho mahsusi katika himaya za kidini…..hata hivyo kizazi baada ya kingine vazi hili limebadilika sura na hata baadhi ya matumizi yake sasa yanaanza kutiliwa shaka.
.
RELATED VIDEOS