Watoto wafariki baada ya kula viazi vitamu Busia
26th January, 2015
Watoto wawili kutoka kaunti ya busia wamefariki baada ya kuripotiwa kula viazi vya tamu. Kulingana na mama ya watoto hao, walipewa viazi hivyo na jirani yao na kuishia kuwa vyenye sumu. Hata hivyo mama na mwanawe mmoja walinusurika kifo na kulazwa katika hospitali ya Nangina.Nangina,