×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watoto wafariki baada ya kula viazi vitamu Busia

26th January, 2015

Watoto wawili kutoka kaunti ya busia wamefariki baada ya kuripotiwa kula viazi vya tamu. Kulingana na mama ya watoto hao, walipewa viazi hivyo na jirani yao na kuishia kuwa vyenye sumu. Hata hivyo mama na mwanawe mmoja walinusurika kifo na kulazwa katika hospitali ya Nangina.Nangina,
.
RELATED VIDEOS