TAKWIMU ZA UJENZI NCHINI: Kuna Kampuni 333 zianzosanifu majengo
24th January, 2015
Suala la majumba kuporomoka nchini si jambo geni, visa hivi huwa na athari kwa wapangaji kutoka maeneo mbali mbali humu nchini, lakini je ni wangapi humakinika na kufuata taratibu zinazohitajika kwenye ujenzi?