Washukiwa wajeruhiwa walipojaribu kutoroka polisi
16th January, 2015
Washukiwa watatu wamejeruhiwa huku wengine 6 wakifanikiwa kutoroka walipokuwa wakihamishwa kutoka kituo kimoja cha polisi hadi kingine katika kaunti ya kisii. Mmoja kati ya waliojeruhiwa atalazimika kukatwa miguu baada ya kuanguka na kuvunjika vibaya aliporuka kutoka kwenye gari la polisi.