Changamoto za kizazi kwa kukosa huduma zinazohitajika
10th January, 2015
Mwezi wa nane mwaka jana tulikuletea taarifa kumhusu elizabeth nanguta kutoka barsaloi kaunti ya samburu ambaye alikumbwa na changamoto si haba katika kupokea huduma za uzazi alipokuwa mjamzito.ni masaibu yaliyowaandama baadhi ya wanawake kaunti hiyo.tulifuatilia taarifa hiyo na kugundua kuwa wenyeji wana kila sababu ya kutabasamu.