×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mtoto wa muuzaji wa mnazi apata alama ya 423 kwenye KCPE

9th January, 2015

Kufutiliwa mbali kwa mfumo wa kuwaorodhesha wanafunzi bora nchini huenda kuliondoa mihemko inayohusishwa na mitihani ya taifa......lakini katika mtaa mmoja wa mabanda eneo la Changamwe mombasa bado sherehe za mtoto wa muuzaji mmoja wa mnazi zinaendelea…. Kijana huyo alijikusanyia alama zaidi ya 420 licha ya ufukura unaodhirika nyumbani kwao.....
.
RELATED VIDEOS