Maseneta wa CORD kusubiri hadi mahakama itakapo toa uwamuzi kuhusiana na sheria ya usalama
30th December, 2014
Maseneta kutoka upande wa CORD watalazimika kusubiri hadi pale mahakama itakapo toa uwamuzi wake kuhusiana na sheria ya usalama ya mwaka 2014. Spika wa bunge la seneti alifikia uamuzi huo katika kikao cha dharura huku akitumia kigezo cha baadhi ya maseneta hao tayari walikuwa wamewasilisha kesi mahakamani.