×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Amir Khan azuru na kutoa msaada kwa Wapaskistani

27th December, 2014

Mwanamasumbwi amir khan wa uingereza amedokeza atapeana kaptula ya zaidi ya pauni 30,000 za uingereza ili kusaidia kuikarabati shule iliyoshambuliwa na kundi la taliban na kupelekea vifo vya watu 141. Khan, amabaye ana asili ya ki-pakistan alivaa kaptula hiyo yenye mkanda wa dhahabu pale alipotetea taji lake la wbc uzani wa welter dhidi ya devon alexander jijini las vegas marekani. Khan mwenye umri wa miaka 28 alisema kuwa alipata msukumo wa kutoa msaada baada ya kuzaliwa kwa mwanawe. Msaada wake unanuia kuikarabati shule ya peshawar, ambako wanafunzi 132 waliuawa wakati wa shambulizi la taliban mapema mwezi huu.
.
RELATED VIDEOS