Chama Cha Kitaifa cha Walimu , KNUT kinatarajiwa kuaanda mgomo mwaka ujau
27th December, 2014
Chama Cha Kitaifa cha Walimu , KNUT kimetoa makataa ya siku saba kwa serikali na mwajiri wao ambaye ni tume ya huduma kwa walimu, TSC pamoja na serikali kuafikia matakwa yao , la sivyo wamesema kuwa wataandaa mgomo wa walimu kote nchini ifikapo tarehe tano mwezi Januari.