Mshukiwa wa wizi afariki baada ya kugusa nyaya za umeme
27th December, 2014
Mshukiwa mmoja wa wizi alifariki baada ya kuguswa na nyaya za umeme sehemu ya Ragati kaunti ya nyeri. Kulingana na walioshuhudia, mshukiwa huyo alikua kwenye genge la watu 3 wanaosumbua wenyeji kwa kuwaibia mifugo yao na kuwaibia majumbani mwao. Walidai kuwa marehemu aliparaga kwenye mti wa spaki katika jitihada za kuwakimbia wenyeji waliokua na hasira ambao awali walimchoma mwenzake